Friday, October 12, 2012

VURUGU ZA MAANDAMANO YA WAISLAMU MBAGALA KIZUIANI LEO

Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wakiandamana kupinga kitendo cha kijana Emmanuel Josephat anayedaiwa kukojolea Quran.
Barabara ikiwa imefungwa wakati wa vurugu hizo.
Wananchi wakishuhudia vurugu hizo.
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia wakiwa na baadhi ya watuhumiwa waliokamatwa katika vurugu hizo za maandamano.Wanausalama wakiwa kazini kuzuia vurugu hizo.

No comments:

Post a Comment