Wednesday, May 30, 2012

WEMA SEPETU ARUSHA ROHO YA JOKATE



Msanii ambaye hajawahi kukaukiwa na matukio yenye kufaa kutengeneza vichwa vya habari katika vyombo vya habari nchini, Wema Abraham Sepetu, kwa mara nyingine ametawala vyombo vya habari baada ya tukio lake la usiku wa jana la kuvishwa pete ya uchumba na msanii wa bendi ya Machozi, anayekwenda kwa jina la Mwinyi.
Tukio hilo ambalo limevuta hisia za wapenzi wa masuala ya udaku na burudani nchini, lilijiri katika ukumbi wa Maisha Club, jijini dar es salaam, usiku wa kuamkia leo, ambapo lilishuhudiwa na mashabiki lukuki wa bendi ya Machozi waliokuwa wamejazana hapo kwa ajili ya burudani ya muziki uliokuwa ukiporomoshwa na bendi hiyo.
Hata hivyo, tofauti na ambavyo imechukuliwa na watu wengi kuwa Wema amepata mchumba mpya na ndio alikuwa akimvisha rasmi pete ya uchumba, ukweli ambao umewekwa wazi ni kuwa, mwanadada huyo alihusika katika tukio hilo kama sehemu ya maandalizi ya filamu yake mpya itakayokwenda kwa jina la Super Star.
Movie hiyo inatarajiwa kuelezea maisha halisi ya msanii huyo ambaye pia aliwika katika medani za ulimbwende, na Mwinyi atashiriki katika filamu hiyo akiigiza nafasi ya mwanamuziki Diamond, ambaye alikuwa mpenzi wa Wema na ambaye alimvisha pete ya uchumba lakini wakamwagana baadae kutokana na mikasa baina yao kuzidi kushamiri.
Kibwagizo: Hata hivyo, Wema anajulikana kuwa hajatulia, unadhani itashangaza kesho kusikia kuwa tukio hilo mbali ya kuwa sehemu ya filamu, lilikuwa pia tukio rasmi la kuwaunganisha wawili hao?

Tuesday, May 29, 2012

WEMA SEPETU AVISHWA PETE NA MWINYI KUTOKA MACHOZI BAND @NEW MAISHA CLUB USIKU HUU


Wednesday, May 30, 2012

 Peter Moe & Gadna G Habash

 Mateja & Snura

 Sam Machozi, Snura & Sharo Millionaire

 Jamillar, Chaz Baba & Snura

 Abra & Choka wakipata shisha

 Wema Sepeta na Bodyguard wake

 Wema & Abou

 mmmmh....

 Jini Kabula

 Mtu mzima Mwinyi akaenda chini pwaaaa...

 Akakumbatiwa watu weweeeeeee

 Heeeh si akaweka pete kidoleni pale kabaaaaaaa

 Mabusu hihaaaaa, watu pipooooo

Froch arejesha taji la IBF kwa mara ya 3


 27 Mei, 2012 - Saa 10:50 GMT

Carl Froch amekua mtu wa tatu kushinda taji la dunia kwa kumzaba makonde ya kufululiza katika raundi ya tano Lucian Bute kutoka Canada kwenye pambano lililofanyika katika ukumbi wa Capital FM Arena mjini Nottingham,Uingereza.
Froch, mwenye umri wa miaka 34, hakutarajiwa kusimama kwa mda mbele ya bingwa huyu wa tawi la ndondi la IBF uzani wa Super Middle, Lucian mwenye sifa ya konde zito la kushoto.
Hata hivyo ni Froch aliyeongoza kwa kushinda raundi mbili za kwanza kabla ya kumchapa vizuri katika raundi ya tatu ambapo bingwa alionekana akiyumbayumba sekunde chache kabla ya kengele kumuonkoa.
Raundi ya nne ilianza kwa Bute kujaribu kurejea katika pambano lakini dakika ya mwisho alimiminiwa makonde yaliyomlazimisha mwamuzi kusitisha pambano kwa mda na kuanza hesabu, lakini akavuka kigezo.
Lakini raundi ya tano, baada ya Froch kuona kua Bute ameiva vya kutosha akakiponda kichwa hadi mpinzani wake aliposalimu amri.
Baada ya pambano hili, Froch aliiambia BBC kua "baada ya kupoteza pambano langu dhidi ya Andre Ward kule Marekani nilijihisi nimedhalilika. Hivyo nilikuja hapa leo kubadili hali ya mambo.
Watu wengi walionelea kua nimekwisha.
Ushindi wa Froch unamuweka katika nafasi ya juu miongoni mwa mashujaa wa masumbwi wa Uingereza ikiwa ni mmoja wa wapiganaji bora wa uzani wa ratili 168 katika historia ya masumbwi Uingereza.

Kuvuja kwa nyaraka za siri za papa hizi hapa


 30 Mei, 2012 - Saa 04:02 GMT

Papa Benedict
Papa Benedict
Afisa mmoja wa ngazi ya juu katika makao makuu ya kanisa Katoliki mjini Vatican, amesema kuvuja kwa nyaraka za siri za kiongozi wa kanisa hilo duniani ni kitendo cha kikatili dhidi ya Papa Benedict.
Afisa huyo ambaye ni naibu waziri wa mambo ya nje wa Vatican Angelo Becciu, amesema nyaraka hizo ni pamoja na fikra binafsi, na pia shutuma kali kutoka kwa watu waliomwandikia Papa barua za siri kutokana na nafasi yake ya kipekee.
Nyaraka hizo zinashutumu vitendo vya rushwa na kushindania madaraka katika ngazi ya juu ya Kanisa Katoliki.
Mwandishi wa BBC mjini Vatican amesema hii ni kashfa kubwa kuliko zote dhidi ya Papa Benedict tangu apate wadhifa wake huo miaka saba iliyopita, na ni tukio lililochafua Kanisa Katoliki nyakati hizi.
Mhudumu mkuu wa Papa, Paolo Gabriele, amekamatwa na tume ya Vatican inachunguza watu wengine ambao wamehusika katika kashfa hiyo.

Monday, May 28, 2012

FRANK MTAO ACHAGULIWA KUWA KATIBU MKUU AUSTRALIA (New South Wales)

Tuesday, May 29, 2012

Mmiliki wa kampuni ya 2 EYES PRODUCTION anayejulikana kwa jina la Frank Mtao anapenda kuwajulisha watanzania wote kuwa amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya watanzania waishio Australia(NSW). 

Frank anasema amepita kwa kura zote katika uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita katika ukumbi wa Granville Youth Centre, Diamond Ave, Granville NSW na mwenyekiti mpya amekuwa Connie Ufwe.

Monday, May 28, 2012

Mshindi wa Redd’s Miss IFM 2012, Fina Revocatus (katikati) akiwa na Mshindi wa Pili, Jane Augustino (kushoto) na wa Tatu Theresia Issaya muda mfupi baada ya kumalizika kwa shindano lao hilo lililofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal, Ubungo Jijini Dar..

Top five ya Miss Ifm 2012.

KANISA LILILOCHOMWA MOTO ZANZIBAR HILI HAPA

Sunday, May 27, 2012

Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) liliopo mtaa wa Kariakoo mjini Unguja limechomwa moto jana usiku wa kuamkia leo na watu wasiojulikana
Gari la Kiongozi wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Bishop Dickoson Maganga lililochomwa moto na watu wasiojulikana usiku wa jana katika eneo la Kariakoo nje ya kanisa hilo ambapo uharibifu wote unaelezwa kuwa umegharimu shilingi millioni 120. Picha/ZanzibarYetu

DIAMOND ALIPOFUNIKA BIG BROTHER STARGAME

  MWANAMUZIKI nyota wa Tanzania wa Bongo flava, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz” juzi usiku aliweza kuuteka umati wa wageni maalum uliofurika kwenye ukumbi wa  jumba la shindano la Big Brothe stargame, na afrika kwa ujumla kwa kupiga shoo kali na ya aina yake ,nchini Afrika Kusini.
Katika shoo hiyo ambayo pia ilishuhudiwa na mamilioni ya watazamaji, ulimwenguni kote kupitia ving’amuzi vya Dstv,  Diamond aliweza kudhihirisha uwezo wake huo kwa kuangusha bonge la shoo  ikiwemo kwa wimbo wake wa ‘Mawazo’ ambao  uliwachanganya watu mbalimbali na kuamka vitini mwao na kupanda  jukwaani na kucheza nae.
Diamond kama kawaida yake, aliweza kuvalia vilivyo, alikonga nyoyo za mashabiki hao kwa staili yake ya uchezaji ikiwemo ya kuigiza kama anaanguka pamoja na ile ya miondoko ya msanii wa Orijino komed, Joti, hadi anamaliza shoo hiyo mashabiki hao walikua na hamu ya kumuona na kusikia nyimbo zake.
Awamu ya pili, Mshereheshaji mkuu wa shindano hilo, Osakioduwa maalufu, IK, aliweza kumwita tena jukwaani Diamond ilikuzungumza machache, Diamond bila hiyana aliwashukuru mashabiki kwa sapoti waliompa na kuwapongeza wote.

“Nimefarijika sana,nawapendeni wote Big brother, funs, na wote” alisema Diamond na baadae IK, alimuomba apige wimbo wa mwisho wa kufungia shoo hiyo na kuporomosha kibao cha ‘Moyo wangu’ ambacho nacho kiliwachanganya zaidi mashabiki huku kivutio lkikubwa kikiwa juu ya uchezaji wake huo wa Kijoti.
Katika shoo, hiyo, mshiriki wa Zambia, Mampi aliweza kutolewa kufuatia kupata kura chache zilizopigwa baada ya kuingia kwenye hatari yeye na wenzake wawili,Maneta na Lady May.

Friday, May 25, 2012

HAYA TENA DIVA LOVENESS LOVE NA DIAMOND HAWA HAPA !!

Friday, May 25, 2012


Mwanadada Diva ambaye ni mtangazaji wa kipindi cha ala za roho kinachorushwa hewani na Clouds fm radio kupitia kipindi chake hicho ameweka wazi nia yake ya kufanya ngoma na msanii aliye juu kwa sasa Diamond platnum. Akidadafua kwa kifupi kidogo mwanadada huyo alisema kuwa yeye ana kipaji cha kuimba mbali na kile alichokuwa nacho cha kuwaburudisha wapenzi na wapweke wakati
wa usiku hivyo anataka kuendeleza kipaji hiko na yuko mbioni kutoa nyimbo yake ambayo ataffanya na Diamond kwenye studio za Fishcrab chini ya prodyuza Lamar, Haya mashabiki wa Diva mkae mkao wa kula!.

MISS HIGHER LEARNING DODOMA 2012 FUNIKA BOVU

Friday, May 18, 2012

Washiriki wa Redds Miss Higher Learning Dodoma 2012, wakiwa katika picha ya pamoja katika kambi yao ya mazoezi iliyopo katika Ukumbi wa NK Club mjini Dodoma leo. Warembo hawa watapanda jukwaani Ijumaa hii kuwania taji hilo.
 ***
Warembo 11 wa Redds Miss Higher Learning Dodoma wanataraji kupanda Jukwaani May 18,2012 katika ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma kuwania taji hilo kwa mwaka huu.

Show hiyo inataraji kuzindikizwa na Mwimbaji bora wa Kiume wa Tuzo za Kili Music Award 2012, Barnaba kutoka kundi la THT ambaye kwa sasa anawika na wimbo wake wa Magubegube.

SHOGA LAMPIGA DENDA WILL SMITH HIVI JUZI....AAMBULIA AIBU

Saturday, May 19, 2012



‘What the hell is your problem homie?’
Will Smith almost lost his cool today while on the red carpet when an Ukrainian reporter attempted to kiss him on the lips. While Will walked the red carpet of the Moscow premiere of ‘Men In Black 3′, the reporter gave him a hug and then took it a step further by leaning in for a kiss. Will immediately pulled away and back handed the guy.
He later explained what happened, saying ‘He tried to kiss me in my mouth. He’s lucky I didn’t sucker punch him’.
The folks that were watching already knew it was about to go down…

50 CENT ALIPOLAZWA HOSPITALI

Saturday, May 19, 2012


50 Cent tweeted out photos of himself lying in a hospital bed Wednesday (May 16) after being admitted for a stomach virus.
In one of the photos, the rapper, wearing a hospital gown, is surrounded by a small collection of stuffed animals, including a giraffe, an elephant and a lion.


Though 50 looks sad and sickly in the pics … his friend DJ Drama, who recently collaborated with the G-Unit rapper on a new mixtape, told XXL MAG that he was suffering from a simple “stomach flu/virus” and he’s expected to make a quick recovery.
“First they wanted to keep it quiet, but he’s not a quiet guy. He should be cool. It’s nothing that serious. We still gonna do our promo run stuff [Thursday].”
As soon as 50 is ready, he and Drama will kick off promotion for their new mixtape “Gangsta Grillz: The Lost Tape,” which is set for release on May 22nd.
Fiddy updated his 6.5 million Twitter followers with the picture below on Thursday (May 17), assuring them that he is all better, and will be released soon.

“I’m feeling better today I think I’m gonna get out of the hospital soon. EMINEM called me last night I love him that’s my boy,” he Tweeded.