Friday, May 25, 2012

HAYA TENA DIVA LOVENESS LOVE NA DIAMOND HAWA HAPA !!

Friday, May 25, 2012


Mwanadada Diva ambaye ni mtangazaji wa kipindi cha ala za roho kinachorushwa hewani na Clouds fm radio kupitia kipindi chake hicho ameweka wazi nia yake ya kufanya ngoma na msanii aliye juu kwa sasa Diamond platnum. Akidadafua kwa kifupi kidogo mwanadada huyo alisema kuwa yeye ana kipaji cha kuimba mbali na kile alichokuwa nacho cha kuwaburudisha wapenzi na wapweke wakati
wa usiku hivyo anataka kuendeleza kipaji hiko na yuko mbioni kutoa nyimbo yake ambayo ataffanya na Diamond kwenye studio za Fishcrab chini ya prodyuza Lamar, Haya mashabiki wa Diva mkae mkao wa kula!.

No comments:

Post a Comment