Wednesday, August 29, 2012

SPIKA ANUSURIKA RISASI, MABOMU YA POLISI YALIYOLENGWA CHADEMA

Spika wa Bunge la Jamhuri  ya Muungano ya Tanzania, Anna Makinda.
Moshi ukiwa umetanda wakati wa vurugu za kuzuia maandamano ya Chadema.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri  ya Muungano ya Tanzania, Anna Makinda,  juzi Jumatatu msafara wake ulinusurika risasi na mabomu ya machozi ya polisi wa Morogoro waliyokuwa wameyalenga kwa wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) eneo la Msamvu, barabara kuu ya Morogoro-Dar es Salaam. Mwandishi wetu alimshuhudia spika akitokea lringa kwa gari na kupita eneo la Msamvu ambapo muda mfupi baadaye polisi walianza kurusha mabomu ya machozi na risasi na kumwua kijana Ally Zolla  na vijana wengine wawili kujeruhiwa.
(NA DUNSTAN SHEKIDELE / GPL, MOROGORO)

No comments:

Post a Comment