Monday, July 9, 2012

WEMA SEPETU, JACQUELINE WOLPER HAKUNA MBABE...picha na matukio

Mwamuzi akiamua mpambano uanze.
...Ngumi ndo zinaanza.
...Wolper akimkabili Wema.
...Wakishikana.
...Wakizidi kuonyeshana umwamba.
....Ndonga zikiendelea.
...Mpambano ukiwa umekolea.
...Wema akipata mawaidha kutoka kwa mwalimu wake Rashid Matumla.
....Picha ya pamoja baada ya mpambano huo uliomalizika kwa suruhu.
Waigizaji mahiri wa filamu nchini, Wema Sepetu na Jacqueline Wolper walitoka suruhu katika mpambano wao wa raundi 2 uliofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini Juni 7, 2012.

No comments:

Post a Comment