Sunday, September 23, 2012

BABY MADAHA AMUIGA RIHANNA

Na Erick Evarist
MSANII anayefanya poa kunako anga la muziki wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ amefunguka kuwa anazimika na swaga za mwanamuziki kutoka Marekani, Robyn Fenty ‘Rihanna’ hadi kufikia hatua ya kumuiga swaga zake.
Akizungumza na Mbovu Mbovu za Mastaa, amejikuta akifanya kila kitu anachokifanya mwanamuziki huyo kutokana na mapenzi aliyonayo kuanzia mavazi, kuimba na hata kucheza.

No comments:

Post a Comment