Thursday, May 3, 2012

OMARION ASAINI DEAL NA MAYBACH MUSIC GROUP(MMG).


Mkali aliyekuwa kundi la B2K zamani, ice box singer Omarion, amesaini deal na kampuni kubwa ya muziki ya Maybach Music Group (MGM). XXL waliwanasa washkaji wakiongelea deal hiyo jinsi ilivyokuja.
 Omarion anasema deal hiyo imetokea kama an aaccident hakutegemea, ilikuwa na baada ya kumfuata Rozay kwa ajili ya kumuomba kufanya nae collabo tu kurekodi some tracks. Kabla hajanijibu kuhusu kitu nilichomuomba, akasema alikuwa anataka kunisaini MMG roster, Omarion aliongeza kwamba tayari kuna ngoma wamesharekodi muda wowote baada ya miezi kama miwili ngoma zitatoka.  

No comments:

Post a Comment