Monday, May 28, 2012

FRANK MTAO ACHAGULIWA KUWA KATIBU MKUU AUSTRALIA (New South Wales)

Tuesday, May 29, 2012

Mmiliki wa kampuni ya 2 EYES PRODUCTION anayejulikana kwa jina la Frank Mtao anapenda kuwajulisha watanzania wote kuwa amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya watanzania waishio Australia(NSW). 

Frank anasema amepita kwa kura zote katika uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita katika ukumbi wa Granville Youth Centre, Diamond Ave, Granville NSW na mwenyekiti mpya amekuwa Connie Ufwe.

No comments:

Post a Comment