Tuesday, May 1, 2012

JAY – Z ADIZAINI LOGO MPYA YA TEAM BROOKLYN NETS.



Hov, Jiga Man, Blue Ivy’s dad, The man himself JAY Z amedizaini logo mpya kwa ajili ya Brooklyn team, logo hiyo inamuonekano wa rangi nyeusi na nyeupe, wakati wa mkutano na waandishi wa habari, Mkurugenzi wa wa Basketball Brett Yorkmark alinukuliwa akisema “ Leo tunazindua chapta nyingine, Hii iko fresh sana, tumesubiri miaka saba (7) mpaka kufikia hapa”.

Muonekano wa kibiashara wa team tayari unaonekana kupitia NJNets.com , wakati huo huo vitu vingine vya ziada unaweza kuviona kwenye face book page ya team zikiwemo kofia, tops na tishets.

No comments:

Post a Comment