Tuesday, May 1, 2012

J.LO, IGLESIA NA Y YANDEL WATANGAZA TOUR YAO YA PAMOJA KIPINDI CHA JOTO.



Jennifer Lopez, Enrique Iglesia na Y Yandel wametangaza Tour yao ya pamoja katika kipindi cha joto kinachokuja (Summertime). Jumatatu iliyopita huko Los Angeles kwamba the 20 city MEGA concert itaanza July 14 huko Montreal.
"Tutawapatia kila kitu tulichanacho kwa ajili yao, nadhani itakuwa moja kati ya Tour za kihistoria, kwa sababu sijui kama imeshawahi kutokea ambapo walatino tumekutana kama family" Alisema J.Lo.

Iglesias alisema Tour itahusisha hit songz zao wataperform pamoja. " Na ngoma kibao na Wisin Y Yandel na Jennifer pia" Aliuambia umati wa watu.
J.lo atakuwepo na watoto wake mapacha Max na Emme watakuwepo kwenye Tour bus hilo.

No comments:

Post a Comment