Wednesday, June 27, 2012
Dr. Ulimbika kabla ya tukio
hali ya Dr. Ulimboka hali aliyokutwa nayo
Akipakizwa kwenye gari
Nesi akilisukuma ambulance
wauguzi na madaktari wakijadiliana jambo
Kiongozi wa madakitari nchini, Dk. Stephen Ulimboka, leo ameokotwa maeneo ya Mabwe Pande, Dar es Salaam, akiwa hoi baada ya kupigwa na watu wasiofahamika.
Kitendo hicho kilisababisha kusimama kabisa kwa huduma katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya madaktari, wauguzi na wahudumu wengine kukasirishwa na kitendo hicho.
Madaktari wameishtumu serikali na jeshi la polisi kwa kile walichokiita kushiriki katika jaribio la kumwua kiongozi wao.
jeshi la polisi launda jopo maalum kwa upelelezi wa tukio la utekaji nyara wa Dr. Ulimboka
No comments:
Post a Comment