9 Juni, 2012 - Saa 14:06 GMT
Waziri wa Mashauri ya Nchi za
Nje wa Urusi, Sergei Lavrov, amesema Urusi inazidi kuingiwa na wasiwasi
kuhusu hali nchini Syria, lakini haitaruhusu Baraza la Usalama la Umoja
wa Mataifa kuidhinisha utumizi wa nguvu kutafuta ufumbuzi.
Lakini alisema Urusi bado inaamini kuwa mataifa ya nje yakiingia Syria kwa nguvu kumaliza msukosuko huo, zinaweza kuleta mtafaruku katika eneo zima, na matokeo kuwa mabaya sana.
No comments:
Post a Comment